sw_tn/deu/27/18.md

20 lines
733 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# Taarifa ya Jumla:
Musa anaendelea kuwaambia Walawi na watu kile wanachopaswa kusema.
# Alaaniwe mwanamume
Hii inaweza kuwekwa katika hali ya kutenda. "Na Yahwe alaani mwanamume"
# atumiaye nguvu kupokonya haki inayomstahili mgeni ... mjane
Musa anazungumzia haki kana kwamba ilikuwa kitu halisia ambayo mtu mwenye nguvu anaweza kuvuta kwa nguvu kutoka kwa mtu dhaifu. Lugha yako inaweza kuwa na neno moja yenye maana "kutumia nguvu kuchukua". Maana zingine zinajitokeza katika 24:17."kumtendea mgeni ... mjane bila haki"
# yatima
Hawa ni watoto ambao wazazi wake wawili wamefariki na hawana jamaa wa kuwatunza.
# mjane
Hii ina maana ya mwanamke ambaye mume wake amefariki na hana watoto ambao wanamtunza katika uzee wake.