forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
682 B
Markdown
20 lines
682 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Musa anazungumza na Waisraeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo isipokuwa, maneno "yake" ni katika umoja.
|
||
|
|
||
|
# ninazowaamuru leo ... mtakapopita
|
||
|
|
||
|
Musa anazungumza na Waisraeli kama kundi, kwa hiyo sehemu zote mbili za neno "wako" ni katika wingi.
|
||
|
|
||
|
# ninazowaamuru
|
||
|
|
||
|
Hapa "ninazowaamuru" ina maana ya Musa. Wazee wapo pale kwa makubaliano na Musa, lakini ni yeye peke yake anayezungumza.
|
||
|
|
||
|
# kuyachapa kwa lipu
|
||
|
|
||
|
Lipu mara kwa mara ni mchanganyiko wa chokaa, mchanga, na maji ambazo husambazwa juu ya kitu.
|
||
|
|
||
|
# nchi inayotiririka kwa maziwa na asali
|
||
|
|
||
|
Hii ni lahaja. "nchi ambayo maziwa mengi na asali hutiririka" au "nchi ambayo ni sahihi kwa mifugo na kilimo"
|