sw_tn/deu/27/01.md

20 lines
682 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# Taarifa ya Jumla:
Musa anazungumza na Waisraeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo isipokuwa, maneno "yake" ni katika umoja.
# ninazowaamuru leo ... mtakapopita
Musa anazungumza na Waisraeli kama kundi, kwa hiyo sehemu zote mbili za neno "wako" ni katika wingi.
# ninazowaamuru
Hapa "ninazowaamuru" ina maana ya Musa. Wazee wapo pale kwa makubaliano na Musa, lakini ni yeye peke yake anayezungumza.
# kuyachapa kwa lipu
Lipu mara kwa mara ni mchanganyiko wa chokaa, mchanga, na maji ambazo husambazwa juu ya kitu.
# nchi inayotiririka kwa maziwa na asali
Hii ni lahaja. "nchi ambayo maziwa mengi na asali hutiririka" au "nchi ambayo ni sahihi kwa mifugo na kilimo"