forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
594 B
Markdown
24 lines
594 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" hapa ni katika umoja.
|
||
|
|
||
|
# na utakuwa na kitu katika zana zako cha kuchimbia
|
||
|
|
||
|
"na unatakiwa kuwa na kifaa utakachotumia kuchimbia"
|
||
|
|
||
|
# utakapochuchumaa kujisaidia
|
||
|
|
||
|
Hii ni njia ya upole ya kusema kunya. "unapochuchumaa chini kunya"
|
||
|
|
||
|
# unapaswa kuchimbia nacho
|
||
|
|
||
|
"unapaswa kuchimba shimo kwa kifaa"
|
||
|
|
||
|
# kufunika kile kilichotoka kwako
|
||
|
|
||
|
"funika kinyesi chako"
|
||
|
|
||
|
# ili kwamba asione kitu chochote kichafu miongoni mwenu
|
||
|
|
||
|
"ili kwamba Yahwe asione kitu chochote kichafu miongoni mwenu"
|