forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
528 B
Markdown
24 lines
528 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
|
||
|
|
||
|
# Iwapo mtu amekutwa kauwawa
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. Iwapo mtu amemkuta mtu ambaye mtu mwingine amemuua"
|
||
|
|
||
|
# kalala shambani
|
||
|
|
||
|
Mtu aliyekufa amelala shambani.
|
||
|
|
||
|
# haijulikani aliyemshambulia
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "na hakuna mtu anayejua aliyemshambulia"
|
||
|
|
||
|
# wanapaswa kupima katika miji
|
||
|
|
||
|
"wanapaswa kupima urefu katika miji"
|
||
|
|
||
|
# yule aliyeuawa
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "yeye ambaye mtu amemuua" au "maiti"
|