forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
478 B
Markdown
12 lines
478 B
Markdown
|
# wanaume wote wanapaswa kuonekana mbele ya Yahwe
|
||
|
|
||
|
Wanawake waliruhusiwa, lakini Yahwe hakuwahitaji kwamba waje. Wanaume wangeweza kuwakilisha familia zao zote.
|
||
|
|
||
|
# wanapaswa kuonekana mbele ya Yahwe
|
||
|
|
||
|
"wanapaswa kuja na kusimama kwenye uwepo wa Yahwe"
|
||
|
|
||
|
# hawataonekana mbele ya Yahwe mikono mitupu; badala yake, kila mtu
|
||
|
|
||
|
mitupu; badala yake, kila mtu- hawatakuja mbele ya Yahwe bila kuwa na sadaka; badala yake, kila mtu." Hizi sentensi mbili hasi kwa pamoja zina maana chanya.
|