forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
954 B
Markdown
28 lines
954 B
Markdown
|
# hakuna masikini
|
||
|
|
||
|
Kitenzi cha jina "masikini" kinaweza kutajwa kama kitenzi. "hakuna watu masikini" au "hakuna mmoja ambaye ni masikini"
|
||
|
|
||
|
# ardhi ambayo ametoa
|
||
|
|
||
|
Hii urejea kwa nchi ya Kanani.
|
||
|
|
||
|
# anawapa ninyi kama urithi wa kumiliki
|
||
|
|
||
|
Nchi ambayo Yahwe anawapa watu wake husemwa kama ilikuwa ni urithi ambao Yahwe anawapa.
|
||
|
|
||
|
# kama peke kwa bidii unasikiliza sauti ya Yahwe Mungu wako
|
||
|
|
||
|
Hapa maneno "sauti ya Yahwe" urejea kwa kile Yahwe mwenyewe asema. "kama peke unakuwa mwangalifu kutii kile Yahwe Mungu wako anasema"
|
||
|
|
||
|
# utakopesha mikopo...huwezi kukopa
|
||
|
|
||
|
Neno "pesa" linaeleweka. Unaweza kufanya maana kamili ya maelezo haya wazi.
|
||
|
|
||
|
# kwa mataifa mengi...juu ya mataifa mengi
|
||
|
|
||
|
Hapa "mataifa" uwakilisha watu. "kwa watu wa mataifa mengi...juu ya watu wa mataifa mengi"
|
||
|
|
||
|
# utaongoza juu ya mataifa mengi, lakini hawatawaongoza juu yenu
|
||
|
|
||
|
Hapa "juu yenu" umaanisha kuwa mkuu wa kifedha. Hii umaanisha kimsingi kitu kile kama sehemu ya awali ya sentensi.
|