forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
715 B
Markdown
24 lines
715 B
Markdown
|
# kila baada miaka mitatu utawasilisha sehemu ya kumi ya mazao yako
|
||
|
|
||
|
Mara moja kwa kila miaka mitatu Waisraeli walipaswa kutunza moja ya kumi zao ndani ya miji yao ingetumika kutoa kwa Walawi, yatima, wajane na wageni.
|
||
|
|
||
|
# ndani ya malango yenu
|
||
|
|
||
|
Hapa "malango" uwakilisha mji wote
|
||
|
|
||
|
# kwa sababu hana sehemu wala urithi pamoja nawe
|
||
|
|
||
|
Mungu hawapi ardhi yoyote Walawi husemwa kama hakuwapa urithi.
|
||
|
|
||
|
# yatima
|
||
|
|
||
|
Hawa ni watoto ambao wazazi wao wote wamekufa na hawana ndugu wa kuwajali.
|
||
|
|
||
|
# mjane
|
||
|
|
||
|
Huyu ni mwanamke ambaye mme wake amekwisha kufa na hana watoto wa kumjali katika umri wake wa uzee.
|
||
|
|
||
|
# kwa kazi yote mkon wako ambayo unafanya.
|
||
|
|
||
|
Hapa "mkono" uwakilisha mtu mzima. HIi inaweza kurejea kwa kazi ya mtu hufanya.
|