forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
708 B
Markdown
24 lines
708 B
Markdown
|
# Hakuna vitu vilivyotengwa kwa ajili ya uharibifu lazima viingie mkononi mwako
|
||
|
|
||
|
Yahwe alaani kitu fulani na kuahidi kukiharibu husemwa kama Yahwe alikuwa anaweka kitu mbali na vitu vingine. Hii inaweza kutajwa kwa kauli tendaji.
|
||
|
|
||
|
# lazima viingine mkononi mwako
|
||
|
|
||
|
Hii ni nahau. "Unapaswa kuishika"
|
||
|
|
||
|
# Yahwe atageuka kutoka kwa hasira yake kali
|
||
|
|
||
|
Yahwe hana hasira tana inaelezewa kuwa hasira yake ilikuwa kitu na Yahwe kimwili anageuka mbali nayo"
|
||
|
|
||
|
# kwa baba zako
|
||
|
|
||
|
Hapa "baba" umaanisha babu ua baba waliotangulia.
|
||
|
|
||
|
# unasikiliza sauti ya Yahwe
|
||
|
|
||
|
Hapa "sauti" uwakilisha nini Yahwe asema. "unatii kile Yahwe asema"
|
||
|
|
||
|
# ambacho ni sahihi machoni pa Yahwe Mungu wenu
|
||
|
|
||
|
Hapa "machoni" uwakilisha mawazo au maoni.
|