forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
742 B
Markdown
24 lines
742 B
Markdown
|
# Taarifa ya ujumla
|
||
|
|
||
|
Musa aendelea kuwakumbusha watu wa Israeli kuhusu kile kilichotokea zamani
|
||
|
|
||
|
# Taberah...Massah...Kibrothi...Hattaavah
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya maeneo ambayo watu wa Israeli walipita wakati wakiwa jangwani.
|
||
|
|
||
|
# Nenda juu
|
||
|
|
||
|
Walikuwa kwenye nchi ya chini, na nchi Yahwe alikuwa amekwisha waambia kuichukua ilikuwa kwenye mlima, kwa hiyo walipaswa kwenda juu ya mlima kuichukua.
|
||
|
|
||
|
# waliasi dhidi ya amri
|
||
|
|
||
|
Neno "amri" ni mbadala wa Yahwe mwenyewe. "Mliasi dhidi ya Yahwe; hamkutii amri"
|
||
|
|
||
|
# sikiliza sauti yake
|
||
|
|
||
|
Hapa "sauti yake" ina maana kile Mungu alikwisha sema.
|
||
|
|
||
|
# kutoka siku ambayo nilikujua
|
||
|
|
||
|
"kutoka muda nilianza kukuongoza wewe." Tofasiri zingine usoma "kutoka siku ambayo nilikujua wewe," siku ambayo Yahwe kwanza aliwajua.
|