forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
494 B
Markdown
20 lines
494 B
Markdown
|
# Taarifa ya ujumla
|
||
|
|
||
|
Musa aendelea kuzungumza na wanaisraeli kama wako mtu mmoja.
|
||
|
|
||
|
# Kumbuka na usisahau
|
||
|
|
||
|
Musa arudia amri ile ile vyote kwa chanya na hasi kusisitiza umuhimu wa kukumbuka.
|
||
|
|
||
|
# namna mlivyomchochea Yahwe
|
||
|
|
||
|
Hapa "wewe" urejea kwa wanaisraeli ambao wako pamoja na Musa na pia wanaisraeli wa kizazi cha nyuma.
|
||
|
|
||
|
# mlikuja eneo hili, mmekuwa waasi...mmechochea...pamoja na wewe kuharibu wewe
|
||
|
|
||
|
Mifano ya "wewe" ni uwingi.
|
||
|
|
||
|
# kwenye eneo hili
|
||
|
|
||
|
Hii irejea kwenye mto Yordani wa bondeni.
|