forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
805 B
Markdown
16 lines
805 B
Markdown
|
# Taarifa ya ujumla
|
||
|
|
||
|
Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
|
||
|
|
||
|
# kuitwa kwa Israeli yote
|
||
|
|
||
|
Musa alitaka kila mmoja Israeli kusikiliza na kutii maneno yake, lakini sauti yake inawezekana haikuwa kubwa kwamba kila mmoja kumsikia.
|
||
|
|
||
|
# kwamba nitazungumza katika masikio yenu leo
|
||
|
|
||
|
Hapa "masikio" urejea kwa mtu ote. Huu mfano unasisitiza kwamba watu wanajua kile Musa alichosema kwao, ili kwamba wasitende dhambi na kisha wasiseme hawakujua kuwa walikuwa wanafanya dhambi.
|
||
|
|
||
|
# Yahwe hakufanya agano hili na baba zenu
|
||
|
|
||
|
Maana zinawezekana ni 1) Yahwe hakufanya pekee agano na wale waliokuwa huko Horebu; agano pia lilikuwa na kizazi cha badae cha Israeli au 2) Yahwe hakufanya agano hili na baba zenu wa mbali, kama vile Abrahamu, Isaka, na Yakobo; badala yake, agano hili lilianza na wanaisraeli huko Horebu.
|