forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
859 B
Markdown
32 lines
859 B
Markdown
|
# Taarifa ya ujumla:
|
||
|
|
||
|
Musa aendelea kuwakumbusha watu wa Israel kile kizazi cha awali cha wanaisraeli walifanya.
|
||
|
|
||
|
# Bado mlikataa kuvamia
|
||
|
|
||
|
Mungu aliwaamuru wanaisraeli kuvamia na kuwamaliza Wamorites, lakini wanaisraeli waliwaogopa na kukataa kupigana nao.
|
||
|
|
||
|
# katika mkono wa Wamorites
|
||
|
|
||
|
Hapa "katika mkono" anamaanisha kuwapa Wamorites nguvu juu yao.
|
||
|
|
||
|
# Tuende wapi sasa?
|
||
|
|
||
|
Hapa swali hili linasisitiza namna gani walikuwa wameogopa. Swali hili la fumbo linaweza kutofasiriwa kama maelezo.
|
||
|
|
||
|
# kufanya mioyo yetu kusinyaa
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha kwamba waliogopa.
|
||
|
|
||
|
# na yenye boma kuelekea mbinguni
|
||
|
|
||
|
Huku ni kutia chumvi ambako kunasisitiza namna ya watu waliovyotishwa walivyokuwa kwa sababu miji ilikuwa mipana na imara.
|
||
|
|
||
|
# yenye boma kuelekea juu
|
||
|
|
||
|
"kuwa na kuta ambazo ziko juu kama"
|
||
|
|
||
|
# wana wa Anakimu
|
||
|
|
||
|
Hawa ni wazao wa Anak watu ambayo walikuwa wakubwa na katili
|