forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
513 B
Markdown
28 lines
513 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Malaika anaendelea kuongea na Danieli.
|
||
|
|
||
|
# atainua jeshi kubwa
|
||
|
|
||
|
"atakusanya jeshi kubwa"
|
||
|
|
||
|
# jeshi litatiwa katika mkono wake
|
||
|
|
||
|
Mahali hapa neno "mkono" linawakilisha utawala wa mfalme
|
||
|
|
||
|
# Jeshi litachukuliwa
|
||
|
|
||
|
Hii yaweza kuandikwa kwa muundo tendaji. "Mfalme wa Kusini ataliteka jeshi la Kaskazini"
|
||
|
|
||
|
# utainuliwa juu
|
||
|
|
||
|
Kuinuliwa juu kunawakilisha wazo wa kuwa na kiburi.
|
||
|
|
||
|
# atawafanya makumi maelfu kuanguka
|
||
|
|
||
|
Mahali hapa kuanguka kunawakilisha kufa katika vita.
|
||
|
|
||
|
# makumi maelfu
|
||
|
|
||
|
"Maelfu mengi"
|