forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
897 B
Markdown
32 lines
897 B
Markdown
|
# Maelezo kiunganishi
|
||
|
|
||
|
Hii inaendelea kueleza ujumbe ambao Dario aliutuma kwa kila mtu katika ufalme wake.
|
||
|
|
||
|
# watetemeka na kumcha
|
||
|
|
||
|
Maneno haya yana maana sawa na yanaweza kuunganishwa. "kutetemeka kwa hofu"
|
||
|
|
||
|
# Mungu wa Danieli
|
||
|
|
||
|
"Mungu ambaye Danieli alimwabudu"
|
||
|
|
||
|
# kwa kuwa ni Mungu aliye hai na huishi milele
|
||
|
|
||
|
Virai hivi viwili "Mungu aliye hai" na "aishiye milele" vinaelezea dhana moja, kwamba Mungu huishi milele.
|
||
|
|
||
|
# ufalme wake ha....; utawala wake uta..
|
||
|
|
||
|
Virai hivi vyote viko sambasamba, na vinatia nguvu juuu ya jinsi ufalme wa Mungu hautakuwa na mwisho."
|
||
|
|
||
|
# ufalme wake hauwezi kuharibiwa
|
||
|
|
||
|
Maneno haya yaweza kuelezwa katika muundo tendaji. " hakuna yeyote aweza kuuangusha ufalme wake" au "ufalme wake utadumu milele"
|
||
|
|
||
|
# utawala wake utakuwepo hadi mwisho.
|
||
|
|
||
|
"atatawala milele"
|
||
|
|
||
|
# amemhifadhi Danieli salama dhidi ya uwezo wa simba.
|
||
|
|
||
|
"hajawaruhusu simba wenye nguvu kumdhuru Danieli"
|