forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
803 B
Markdown
24 lines
803 B
Markdown
|
# tundu
|
||
|
|
||
|
Hii inarejelea chumba au shimo mahali simba walikuwa wanatunzwa.
|
||
|
|
||
|
# mfalme alilitia muhuri wa pete yake mwenyewe na pamoja na muhuri wa wakuu wake.... kuhusiana na Danieli
|
||
|
|
||
|
Kazi ya pete yea muhuri yaweza kuelezewa kwa uwazi. Mfalme pamoja na wakuu wake walikandamiza pete katika chapa iliyotengenezwa kwa nta.
|
||
|
|
||
|
# na usiku ule alikuwa na mfungo
|
||
|
|
||
|
Hili ni tendo linaloashiria kwamba mfalme alikuwa na wasiwasi kuhusu Danieli.
|
||
|
|
||
|
# chochote kisiweze kubadilishwa kuhusiana na Danieli
|
||
|
|
||
|
"hakuna awezaye kumsaidia Danieli"
|
||
|
|
||
|
# Hakuna starehe yoyote iliyoletwa mbele yake
|
||
|
|
||
|
maneno haya yaweza kuelezwa kwa kutumia muundo tendaji. " Hapakuwa na mtu yeyote wa kumburudisha"
|
||
|
|
||
|
# nao usingizi ulimkimbia
|
||
|
|
||
|
Usingizi unaongelewa kana kwamba unaweza kukimbia kutoka kwa mfalme. "hakulala kabisa usiku wote ule"
|