forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
529 B
Markdown
20 lines
529 B
Markdown
|
# Na sasa watu wanaojulikana ....wamekwisha kuletwa mbele yangu
|
||
|
|
||
|
Muundo tendaji waweza kutumika pia."sasa watu waliojulikana ....wamekuja mbele yangu"
|
||
|
|
||
|
# kunijulisha
|
||
|
|
||
|
"kuniambia"
|
||
|
|
||
|
# utavikwa nguo za zambarau na kuwa na kuvalishwa mkufu wa dhahabu shingoni mwako
|
||
|
|
||
|
Maneno haya yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji."Nitakupatia nguo za zambarau na mkufu wa dhahabu shingoni"
|
||
|
|
||
|
# utavikwa nguo za zambarau
|
||
|
|
||
|
Nguo za zambarau zilikuwa ni adimu na zilitunzwa kwa ajili ya maafisa wa kifalme.
|
||
|
|
||
|
# mtawala wa tatu
|
||
|
|
||
|
"mtawala wa namba ya tatu"
|