forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
523 B
Markdown
16 lines
523 B
Markdown
|
# katika kula au katika kunywa
|
||
|
|
||
|
Sheria ya Musa ilijumuisha nani anaweza kula au kunywa. "kwa nini mnakula au mnakunywa"
|
||
|
|
||
|
# kuhusu siku ya sikukuu au mwezi mpya, au siku za Sabato
|
||
|
|
||
|
Sheria ya Musa ilielekeza siku za kusherehekea, kuabudu, na kutoa sadaka.
|
||
|
|
||
|
# kivuli cha vitu vijavyo
|
||
|
|
||
|
"Kivuli" hutoa wazo la mfano wa asili ya kitu halisi. Kwa njia hiyo hiyo, tamaduni za kidini kama vile Sheria za Musa zinaweza kwa kiasi kuonesha uhalisia wa Yesu Kristo.
|
||
|
|
||
|
# kiini
|
||
|
|
||
|
Hapa inamaanisha "uhalisia" kitu ambacho kitoacho "kivuli"
|