forked from WA-Catalog/sw_tn
8 lines
289 B
Markdown
8 lines
289 B
Markdown
|
# Tazama
|
||
|
|
||
|
Mwandishi anawaambia wasomaji kwamba anaenda kusema jambo jipya. Lugha yako inaweza kuwa na namna ya kufanya hivi.
|
||
|
|
||
|
# Milima itadondosha divai tamu, na milima yote itabubujika pamoja na hiyo.
|
||
|
|
||
|
Hii mistari miwili kimsingi ni kitu kimoja na kusisitiza kwamba nchi itazalisha sana.
|