sw_tn/amo/04/12.md

16 lines
661 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# Israeli, Waisraeli, taifa la Israeli
Neno "Israeli" ni jina ambalo Mungu alimpa yakobo. Linamaana, "ameshindana na Mungu."
# Mungu
Katika Biblia, neno "Mungu" linarejea kwenye kuwa milele aliyeumba ulimwengu wote kutoka bila kitu. Mungu anaisha kama Baba, Mwana, na Roho Mtakatifu. Jina la Mungu ni "Yahwe."
# funuo, ufunuo
Neno "funuo" maana yake kusababisha jambo kujulikana. "ufunuo" ni kitu ambacho kilichukuwa kimefanywa kujulikana.
# mahali pa juu
Neno "mahali pa juu" linarejea kwenye madhabahu na sehemu takatifu iliyokuwa ikitumika kwa ajili ya kuabudu sanamu. Yalikuwa yamejengwa kawaida juu ya aridhi, kama juu ya mlima au pembeni ya mlima.