forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
598 B
Markdown
20 lines
598 B
Markdown
|
# Maelezo yanayounganisha
|
||
|
|
||
|
Festo akaendelea kuongea na Mfalme Agripa
|
||
|
|
||
|
# Nimemleta kwenu, hasa kwako, Mfamle Agripa
|
||
|
|
||
|
" Nimemleta Paulo kwenu nyote lakini hasa kwako Mfalme Agripa"
|
||
|
|
||
|
# Ili nipate cha kuandika zaidi
|
||
|
|
||
|
"ili nipate cha ziada cha kuandika" au "ili nijue niandike nini"
|
||
|
|
||
|
# haina maana kumpeleka mfungwa na bila kuonyesha mashitaka yanayomkabili
|
||
|
|
||
|
"itakuwa na maana nikimpeleka mfungwa na kuonyesha mashtaka yanayomkabili"
|
||
|
|
||
|
# Mashitaka dhidi yake
|
||
|
|
||
|
inamaanisha kuwa 1) mashitaka yaliyoletwa juu yake na viongozi wa Kiyahudi au 2) mashitaka chini ya sheria za Roma yanayoelezea kesi ya Paulo.
|