forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
932 B
Markdown
24 lines
932 B
Markdown
|
# Sentensi ungsnishi
|
||
|
|
||
|
Hii sehemu ya hadithi ni kuhusu safari ya Paulo na Sila. Hapa Timotheo alitambuisha kwenye hadithi na kujiunga na Paulo na Sila. Mstari wa 1 na 2 hutoa taarifa za msingi kuhusu Timotheo
|
||
|
|
||
|
# Tazama
|
||
|
|
||
|
Neno "Tazama" inatutaadharisha juu ya mtu mpya katika simulizi. Lugha yako huenda ikawa na njia ya kufanya hivyo.
|
||
|
|
||
|
# Kijana aliyezaliwa na mama wa Kiyahudi ambaye ni muumini
|
||
|
|
||
|
"Kijana aliyezaliwa na mama wa Kiyahudi ambaye anamwamini Kristo.
|
||
|
|
||
|
# Aliongelewa vizuri
|
||
|
|
||
|
"Timotheo alikuwa na tabia nzuri" au "Walioamini walisema mambo mazuri juu ya Timotheo"
|
||
|
|
||
|
# Paulo alimtaka ili asafiri naye, hivyo akamchukua
|
||
|
|
||
|
"Paulo alimtaka Timotheo asafiri naye hivyo Paulo akamchukua" maneno mengine kama (yeye, yake) yanamrejea Timotheo.
|
||
|
|
||
|
# baba yake ni Mgiriki
|
||
|
|
||
|
Kama Mgiriki, baba yake Timotheo hangeweza binafsi kumtahiri Timotheo hivyo Paul alimtahiri. Tohara mara nyingi ilifanywa na Mwalimu wa Kiyahudi, kama vile Paulo.
|