forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
972 B
Markdown
36 lines
972 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Simlizi inamalizika kumhusu Stefano, kuanzia sura hii ya 8 simlizi inaanza kumtaja Sauli.
|
||
|
|
||
|
# siku hiyo ndipo alipoanza... isipokuwa mitume.
|
||
|
|
||
|
Sehemu ya mstari huu wa 1 ni habari inayoeleza kuanza kwa mateso kwa watu wa njia ile baada ya kifo cha Stefano. Unaelezea sababu za Paulo kuanzisha mateso hayo kwa waumini.
|
||
|
|
||
|
# Siku hizo
|
||
|
|
||
|
Hii inahusu siku ambayo Stefano aliuawa,
|
||
|
|
||
|
# Waaminio wote walitawanyika
|
||
|
|
||
|
Hii ni inavumisha wengi au zaidi ya waamini wa Yerusalem waliyakimbia mateso.
|
||
|
|
||
|
# Isipokuwa mitume
|
||
|
|
||
|
Inadhihirisha kwamba mitume walibaki Yerusalem ingawa hawakuyazoea hayo mateso makubwa
|
||
|
|
||
|
# Watu wacha Mungu
|
||
|
|
||
|
"Watu wenye hofu ya Mungu" au "Watu waliomuogopa Mungu
|
||
|
|
||
|
# Wakafanya maombolezo makubwa
|
||
|
|
||
|
"Wakalia sana ...juu yake"
|
||
|
|
||
|
# Aliwaburuza wanaume na wanawake
|
||
|
|
||
|
Sauli aliwachukua kwa nguvu Wayahudi waamini na kuwatoa nje ya nyumba zao na kuwatupa gerezani.
|
||
|
|
||
|
# Wanaume na wanawake
|
||
|
|
||
|
inaelezea juu wanaume na wanawake ambao waliokuwa wamemwamini Yesu.
|