Kitendawili ni kauli ya ukweli ambayo inaonekana kufafanua kitu kisichoezekana. Kitendawili untaokea katika mistari 4-5: "Tunazungumzia uvumilivu wenu na imani yenu katika mateso yenu yote.Tunazungumzia mateso mnayostahimili.Hii ni ishara ya hukumu ya kweli ya Mungu." Watu kila mara hawangefikiria kwamba kumuamini Mungu wakati wa kuteswa ni ishara ya hukumu ya kweli ya Mungu.Lakini katika mistari ya 5-10, Paulo anaelezea jinsi Mungu atawapatia tuzo wale ambao wanamwamini na jinsi atakavyuwahukumu wanaowatesa. (2 Wathesalonike 1:4-5)