forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
453 B
Markdown
16 lines
453 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Wimbo wa Daudi kwa Yahwe unaendelea.
|
||
|
|
||
|
# Maana ni nani aliye Mungu isipokuwa Yahwe? Na ni nani aliyemwamba isipokuwa Mungu?
|
||
|
|
||
|
Daudi anatumia maswali kusisitiza kwamba hakuna Mungu zaidi ya Yahwe.
|
||
|
|
||
|
# aliyemwamba
|
||
|
|
||
|
Daudi anamlinganisha Yahwe na mwamba kusisitiza nguvu zake na uwezo wa kuwalinda watu wake.
|
||
|
|
||
|
# humwongoza asiye na hatia katika njia yake
|
||
|
|
||
|
Yahwe humlinda asiye na hatia katika usalama na kuondoa kila kinachoweza kumdhuru.
|