forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
651 B
Markdown
24 lines
651 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Wimbo wa Daudi kwa Yahwe unaendelea. Anatumia usambaba kusisitiza akisemacho
|
||
|
|
||
|
# Alizifungua mbingu... akamwaga mawingu angani
|
||
|
|
||
|
Daudi anazungumzia njia za Yahwe kwa kumwokoa Daudi kutoka kwa adui zake kama mawingu ya dhoruba yakusanyikayo juu ya sehemu. Hii inasisitiza nguvu za Mungu na hasira yake.
|
||
|
|
||
|
# chini ya miguu yake
|
||
|
|
||
|
Daudi anamzungumzia Mungu kama ana miguu ya watu.
|
||
|
|
||
|
# Alionekana katika mawingu ya upepo
|
||
|
|
||
|
Yaweza kuwa "alionekana juu ya mawingu ya upepo"
|
||
|
|
||
|
# mawingu ya upepo
|
||
|
|
||
|
Hii inaonesha upepo kama ulikuwa ni ndege
|
||
|
|
||
|
# Na akafanya giza hema kumzunguka
|
||
|
|
||
|
Giza alilolifanya Yahwe linalinganishwa na hema limfichalo kabisa.
|