forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
602 B
Markdown
24 lines
602 B
Markdown
|
# aliye kwa ajili ya Daudi
|
||
|
|
||
|
Kuwa "kwa ajili" ya mtu inamaanisha kumuunga mkono.
|
||
|
|
||
|
# Amasa akalala akigaagaa katika damu yake
|
||
|
|
||
|
Amasa alikuwa akaijivingirisha katika damu yake, lakini kwa wakati huu yawezekana alikwisha kufa. Inaelezwa hivi kuonesha mwili wake ulivyoonekana.
|
||
|
|
||
|
# watu wote wakasimama... kumkaribia wakasimama
|
||
|
|
||
|
Inaanisha waliacha kutembea na kushangaa maiti ya Amasa.
|
||
|
|
||
|
# Alimbeba Amasa
|
||
|
|
||
|
"aliubeba mwili wa Amasa"
|
||
|
|
||
|
# Baada ya Amasa kuondolewa njiani
|
||
|
|
||
|
Hii yaweza kuelezawa kuwa baada ya mtu kuuondoa mwili wa Amasa njiani.
|
||
|
|
||
|
# katika kumfuatia
|
||
|
|
||
|
Nomino dhahania yaweza kuelezwa kama kitenzi.
|