forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
375 B
Markdown
12 lines
375 B
Markdown
|
# kuwa mahali pamoja
|
||
|
|
||
|
Hii inarejerea mji wa Gilgali.
|
||
|
|
||
|
# Sheba... Bikri
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya wanaume.
|
||
|
|
||
|
# Sisi hatuna sehemu katika Daudi, wala hatuna urithi katika mwana wa Yese
|
||
|
|
||
|
Maelezo haya yote yanamaanisha kitu kimoja. Shiba anasisitiza kwamba yeye na makabila ya Israeli hawana uhusiano na Daudi. Yaani urithi wa Daudi na familia ya baba yake hawana uhusiano na Israeli.
|