forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
657 B
Markdown
28 lines
657 B
Markdown
|
# akavuka kuelekea Gilgali
|
||
|
|
||
|
Walivuka Mto Yordani kuelekea Gilgali.
|
||
|
|
||
|
# Kimhamu
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mwanamme
|
||
|
|
||
|
# kumleta mfalme
|
||
|
|
||
|
"kumsindikiza mfalme." Walivuka Mto Yordani.
|
||
|
|
||
|
# Jeshi la Yuda lote na nusu ya jeshi la Israeli likamleta mfalme.
|
||
|
|
||
|
"Jeshi la Yuda lote na nusu jeshi ya Israeli likamleta mfalme"
|
||
|
|
||
|
# Kwa nini ndugu zetu, watu wa Yuda... na watu wote wa Daudi pamoja naye?
|
||
|
|
||
|
Watu wa Israeli wanatumia swali hili kuonesha kwama wajisikia kwamba wamesalitiwa na ndugu zao wa Yuda.
|
||
|
|
||
|
# Kukutolosha
|
||
|
|
||
|
Waisraeli wanazungumza jinsi watu wa Yuda walivyomsindikiza mfalme kuvuka mto kama vile mfalme alikuwa kitu kilichoibwa kisicho chao.
|
||
|
|
||
|
# Yordani
|
||
|
|
||
|
Mto Yordani
|