forked from WA-Catalog/sw_tn
44 lines
700 B
Markdown
44 lines
700 B
Markdown
|
# Ikawa
|
||
|
|
||
|
Kifungu kinatambulisha tukio linalofuata katika habari
|
||
|
|
||
|
# Mahanaimu... Raba... Lo Debari... Rogelimu
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya miji au sehemu.
|
||
|
|
||
|
# Shobi... Nahashi... Makiri... Amieli... Barzilai
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya wanaume.
|
||
|
|
||
|
# Mwamoni... Mgileadi
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya makundi ya watu
|
||
|
|
||
|
# magodoro na mabulangeti
|
||
|
|
||
|
godoro ni kitu laini cha kulalia, na blangeti ni nguo ya kujifunika ili kupata joto.
|
||
|
|
||
|
# Unga
|
||
|
|
||
|
Unga ni nafaka iliyopondwa kuwa laini na unatumika kutengeneza mkate au ugali.
|
||
|
|
||
|
# Iliyookwa
|
||
|
|
||
|
"Iliyopikwa"
|
||
|
|
||
|
# Maharage
|
||
|
|
||
|
mbegu zipikwazo kwa kuliwa
|
||
|
|
||
|
# dengu
|
||
|
|
||
|
Ni aina ya mbegu zinazopikwa na kuliwa
|
||
|
|
||
|
# siagi
|
||
|
|
||
|
maziwa yaliyoganda na kuwa magumu
|
||
|
|
||
|
# Kiu
|
||
|
|
||
|
Hitaji la maji ya kunywa au kimiminika kingine.
|