forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
387 B
Markdown
24 lines
387 B
Markdown
|
# Ahimaasi
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mwanamme.
|
||
|
|
||
|
# Abiathari
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mwanamme
|
||
|
|
||
|
# Je wewe si mwonaji?
|
||
|
|
||
|
Swali hili linatumika kumkemea Sadoki.
|
||
|
|
||
|
# Tazama
|
||
|
|
||
|
Hii inamtaka msikilizaji kuwa msikivu kwa kinachofuata.
|
||
|
|
||
|
# Hata neno litakapotoka kwenu
|
||
|
|
||
|
Hii inaonesha yeye akipeleka mjumbe kwa mfalme.
|
||
|
|
||
|
# Kunitaarifu
|
||
|
|
||
|
Hapa mfalme anaonesha kwamba atapokea ujumbe kumtaarifu kinachofanyika Yerusalemu.
|