forked from WA-Catalog/sw_tn
8 lines
283 B
Markdown
8 lines
283 B
Markdown
|
# Nikiona kibari machoni pa Yahwe
|
||
|
|
||
|
Hapa "macho ya Yahwe" inaonesha mawazo na maoni ya Yahwe. Ikiwa "nitaona kibari" inamaanisha kama atapendezwa nawe.
|
||
|
|
||
|
# Mahali aishipo
|
||
|
|
||
|
"Mahali uwepo wake ulipo." Sanduku la agano linaashiria uwepo wa Yahwe. Hii inarejerea mahali sanduku lilipo.
|