forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
823 B
Markdown
32 lines
823 B
Markdown
|
# sema neno zaidi
|
||
|
|
||
|
"kusema nawe neno zaidi." Mwanamke anaomba kusema na mfalme jambo lingine.
|
||
|
|
||
|
# Mtumishi wako
|
||
|
|
||
|
Kuonesha heshima kwa mfalme
|
||
|
|
||
|
# Kuongea zaidi
|
||
|
|
||
|
Mfalme alimpa ruhusu kuongea zaidi.
|
||
|
|
||
|
# Kwa nini basi umetenda jambo la namna hiyo kwa watu wa Mungu?
|
||
|
|
||
|
Mwanamke anauliza swali hili kumkemea Daudi kwa jinsi alivyomtendea Absalomu.
|
||
|
|
||
|
# Mfalme ni kama mwenye hatia
|
||
|
|
||
|
Mwanamke anamlinganisha mfalme na mtu mwingine aliye na hatia bila kusema moja kwa moja.
|
||
|
|
||
|
# Mwanawe aliyefukuzwa
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa kama "mwanawe aliyetengwa.
|
||
|
|
||
|
# Maana wote ni lazima tufe, nasi ni kama maji tukimwagika juu ya ardhi... juu tena.
|
||
|
|
||
|
Hapa mwanamke anazungumzia mtu anayekufa kama maji yamwagikayo juu ya nchi.
|
||
|
|
||
|
# Mungu... hutafuta njia kwa wale waliofukuzwa kurudishwa tena.
|
||
|
|
||
|
Mwanamke anaonesha kwamba Daudi anapaswa kumrudisha mwanawe.
|