forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
993 B
Markdown
28 lines
993 B
Markdown
|
# fanya lililomo moyoni mwako
|
||
|
|
||
|
Hapa "moyo" unawakilisha akili. Yaani: "fanya unalofikiri linapaswa kufanyika"
|
||
|
|
||
|
# maana Yahwe yupo nawe
|
||
|
|
||
|
Hapa "pamoja nawe" linamaanisha Mungu anamsaidia na kumbariki Daudi.
|
||
|
|
||
|
# neno la Yahwe lilikuja
|
||
|
|
||
|
Hii ni aina ya usemi kumaanisha kwamba Yahwe alisema. "Yahwe alisema ujumbe"
|
||
|
|
||
|
# neno la Yahwe
|
||
|
|
||
|
Hapa "neno" linawakilisha ujumbe wa Yahwe
|
||
|
|
||
|
# na akasema, "Nenda na umwambie Daudi mtumishi wangu, 'Hivi ndivyo asemavyo Yahwe: Je wewe utanijengea nyumba ya kuishi?
|
||
|
|
||
|
Hii ina nukuu ndani ya nukuu. Yaani: "na kusema, "Nenda na umuulize Daudi kama anadhani atakuwa ndiye wa kunijengea nyumba nitakayoishi."
|
||
|
|
||
|
# Je wewe utanijengea nyumba ya kuishi?
|
||
|
|
||
|
Yahwe anatumia nukuu kusisitiza kwamba Daudi hatajenga nyumba kwa ajili ya Yahwe. Nukuu hii inaweza kufasiriwa kama taarifa. Yaani: "Hautanijengea nyumba ya kuishi"
|
||
|
|
||
|
# kunijengea nyumba
|
||
|
|
||
|
Hapa nyumba inamaanisha hekalu. Katika 7:11 Yahwe atasema kwamba atamjengea Daudi nyumba. Pale "nyumba" inamaanisha familia.
|