forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
462 B
Markdown
12 lines
462 B
Markdown
|
# Peresi Uza
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mahali. Mtu anayetafasiri anaweza kuongeza maelezo ya chini kusema, "Jina Peresi Uza linamaanisha 'adhabu ya Uza."'
|
||
|
|
||
|
# hadi siku hiyo
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha hadi wakati habari hii ilipokuwa inaandikwa, siyo sasa katika karne ya ishirini na moja.
|
||
|
|
||
|
# Jinsi gani sanduku la Yahwe lije kwangu?
|
||
|
|
||
|
Daudi anatumia swali hili kusisitiza kwamba anaogopa kulipeleka sanduku Yerusalem. Yaani: "Ninaogopa sana kulileta sanduku la Yahwe Yerusalemu."
|