forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
409 B
Markdown
12 lines
409 B
Markdown
|
# Mtakaposikia...Yahwe atakuwa amekwenda mbele yenu kulipiga jeshi la Wafilisiti
|
||
|
|
||
|
Hii ni mwendelezo wa maelekezo ya Yahwe kwa Daudi yaliyoanza katika 5:22. Yahwe hapa anajisema katika nafsi ya tatu.
|
||
|
|
||
|
# Mtakaposikia sauti ya kwenda katika upepo ukivuma kupitia juu ya miti ya miforsadi
|
||
|
|
||
|
"Wakati upepo unavuma kupitia juu ya miti ya miforsadi kama watu wanaotembea"
|
||
|
|
||
|
# Geba...Gezeri
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya mahali.
|