forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
303 B
Markdown
12 lines
303 B
Markdown
|
# Maelezo kwa Jumla
|
||
|
|
||
|
Daudi na jeshi la Israeli wanaishambulia Yerusalemu
|
||
|
|
||
|
# Hautaingia humu isipokuwa utazuiwa na vilema na vipofu
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa katika muundo chanya. Yaani: "ikiwa utakuja hapa, hata vipofu na vilema wataweza kukuondoa."
|
||
|
|
||
|
# vipofu na vilema
|
||
|
|
||
|
Watu wasioweza kuona wala kutembea
|