forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
338 B
Markdown
16 lines
338 B
Markdown
|
# wana walizaliwa kwa Daudi
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kutaafiwa katika muundo tendaji. Yaani wake wa Daudi walizaa wana sita
|
||
|
|
||
|
# mzaliwa wa kwanza...mwana wa pili...tatu
|
||
|
|
||
|
Hii ni hesabu kwa mpangilio wa wana wa Daudi
|
||
|
|
||
|
# Ahinoamu...Abigaili...Maaka
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya wanawake. Ni wake wa Daudi.
|
||
|
|
||
|
# Kileabu...Nabali...Talmai
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya wanaume.
|