forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
753 B
Markdown
28 lines
753 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Ujumbe kutoka kwa Mfalme Yosia kwa Hilkia, kuhani mkuu, anaendelea.
|
||
|
|
||
|
# Waacheni wapewe pesa ... walipewa ... kwa sababu waliimudu
|
||
|
|
||
|
Hapa "wao" na "-wa" inarejea kwa wafanyakazi ambao ni wasimamizi wa nyumba ya Yahwe katika 22:3.
|
||
|
|
||
|
# mafundi seremala, wajenzi, na waashi
|
||
|
|
||
|
Hawa ni sawa na wafanyakazi waliopo katika nyumba ya Yahwe katika 22:3. Hapa wafanya kazi wanaelezwa kinaganaga zaidi.
|
||
|
|
||
|
# wajenzi
|
||
|
|
||
|
watenda kazi wajengao kwa mbao
|
||
|
|
||
|
# waashi
|
||
|
|
||
|
watenda kazi wajengao kwa mawe
|
||
|
|
||
|
# zile pesa hazikutakiwa kuhesabiwa wakati walipokuwa wanapewa
|
||
|
|
||
|
"watenda kazi waliokuwa wasimamizi hawakutoa taarifa jinsi walivyotumia pesa ambayo walinzi wa hekalu waliwapatia"
|
||
|
|
||
|
# kwa sababu walizimudu kwa uaminifu
|
||
|
|
||
|
"kwa sababu walitumia pesa kwa unyoofu"
|