forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
458 B
Markdown
16 lines
458 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Hii inaendeleza ujumbe kutoka kwa Yahwe uliotolewa kwa Isaya, nabii, kwa Mfalme Hezekia kuhusiana na Mfalme Senakeribu.
|
||
|
|
||
|
# mmemnajisi Yahwe
|
||
|
|
||
|
Ku "asi" ni kukataa kwa uwazi au dhihaka.
|
||
|
|
||
|
# nimepanda ... nitaangusha chini ... nitaingia
|
||
|
|
||
|
Haya majivuno yalifanywa na Senakeribu yangeweza kukamilishwa na jeshi lake.
|
||
|
|
||
|
# Nimekausha mito yote ya Misri chini ya soli ya miguu yangu
|
||
|
|
||
|
"Na kwa kutembea kupitia kijito cha Misri, tumevikausha vyote!"
|