forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
747 B
Markdown
24 lines
747 B
Markdown
|
# mfalme wa Ashuru akalihamasisha jeshi lake kubwa, akawatuma Tartani na Rabsarisi na amiri jeshi mkuu
|
||
|
|
||
|
Senakeribu alipeleka kundi la watu kutoka jeshi lake kwenda Yerusalemu kuonana pamoja na Mfalme Hezekia, pamoja na maafisa waitwao Tartani na Robsarisi.
|
||
|
|
||
|
# Tartani ... Rabsarisi
|
||
|
|
||
|
Baadhi ya Biblia zinatafsiri haya kama majina pekee. Matoleo mengine ya Biblia yanayatafsiri kama vyeo. "Tartani ... Rabsarisi" au "kiongozi wa askari ...afisa wa mahakama"
|
||
|
|
||
|
# Lakishi
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mji.
|
||
|
|
||
|
# mfereji wa bwawa la juu
|
||
|
|
||
|
mfeji ambapo maji yalihifadhiwa katika "bwawa la juu" ububujikao kwenda mji wa Yerusalemu
|
||
|
|
||
|
# kusimama huko
|
||
|
|
||
|
"na kumsubiri mfalme Ahazi huko kuonana nao"
|
||
|
|
||
|
# Eliakimu ... Hilkia ... Shebna ... Joa ... Asafu
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya watu.
|