forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
607 B
Markdown
20 lines
607 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Hukumu ya Yahwe inaendelea juu ya wenyeji wa Waashuru mpya waliozoea dini zao za kipagani.
|
||
|
|
||
|
# Kuthi ... Ava ... Hamathi ... Sefarvaimu
|
||
|
|
||
|
Hizi ni sehemu katika ufalme wa Kiashuru.
|
||
|
|
||
|
# Ilitokea mwanzoni mwa makazi yao huko
|
||
|
|
||
|
"Wakati hao watu walipoishi kwa mara ya kwamnza huko"
|
||
|
|
||
|
# Mataifa uliyoyachukua na kuyaweka katika miji ya Samaria
|
||
|
|
||
|
"Watu uliowaondoa kutoka nchi nyingine na kuwapeleka kuishi katika miji ya Samaria"
|
||
|
|
||
|
# hawakujua yale mambo waliyokuwa wanatakiwa kuyafanya kwa mungu wa nchi
|
||
|
|
||
|
"hawakujua jinsi ya kumwabudu Mungu ambaye aliyeabudiwa na Waisraeli katika hii nchi" (UDB)
|