forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
671 B
Markdown
24 lines
671 B
Markdown
|
# yalikuwa machungu sana
|
||
|
|
||
|
Kuteseka ilikuwa vigumu ilizungumziwa kana kwamba ilikuwa ladha chungu. "ilikuwa chungu sana"
|
||
|
|
||
|
# hapakuwa na mwokozi kwa ajili ya israeli
|
||
|
|
||
|
"hapakuwa na mtu yeyote angeweza kuiokoa israeli"
|
||
|
|
||
|
# kufuta
|
||
|
|
||
|
Kuiangamiza Israeli kabisa inazungumziwa kana kwamba Yahwe amewasafisha kwa nguo. "angamiza kabisa"
|
||
|
|
||
|
# jina la Israeli
|
||
|
|
||
|
Hapa "jina la Israeli" linawakilisha Israeli yote na wenyeji wake. "watu wa Israeli"
|
||
|
|
||
|
# chini ya mbingu
|
||
|
|
||
|
"juu ya nchi"
|
||
|
|
||
|
# aliwaokoa kwa mkono wa Yeroboamu mwana Yehoashi
|
||
|
|
||
|
Hapa "mkono" unarejea kwa uweza. Yeroboamu aliwashinda maadui wa Israeli kwa msaada wa jeshi lake. "alimuwezesha Mfalme Yeroboamu na jeshi lake kuwaokoa"
|