sw_tn/2ki/14/23.md

32 lines
817 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# Maelezo ya Jumla:
Hii inaeleza kile Mfalme Uzia alichokifanya baada ya kuwa mfalme.
# Katika mwaka wa kumi na tano wa Amazia
"katika mwaka wa 15 wa Amzia"
# miaka arobaini na moja
2021-09-10 19:21:44 +00:00
mwaka mmoja - "miaka 41"
2019-05-21 20:17:16 +00:00
# uovu katika uso wa Yahwe
Hapa "uso" ni picha kwa ajili ya kuhukumu. "uovu kulingana na Yahwe"
# Hakuziacha dhambi yoyote ya kutoka kwa Yeroboamu
Kuacha kuasi imezungumziwa kama kupita njia. Hii inaweza kuelezwa katika mfumo tendaji. "Hakuacha kufanya dhambi kama dhambi za Yeroboamu" au "Aliendelea kufanya dhambi kama dhambi za Yeroboamu"
# Akarudisha mipaka
Hii inamaanisha jeshi lake lilirudisha nchi hata kwenye mpaka. "Maaskari wake wakayashinda baadhi ya maeneo yaliyokuwa yamemilikiwa na Israeli"
# Lebo Hamathi
Huu mji pia ulikuwa unaitwa Hamathi.
# Bahari ya Araba
"Bahari mfu" (UDB)