forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
591 B
Markdown
24 lines
591 B
Markdown
|
# Maelzo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Wamemchukua mfalme mpya, Yoashi, kutoka kwenye hekalu hata kwenye nyumba ya mfalme.
|
||
|
|
||
|
# mamia ya makamanda
|
||
|
|
||
|
Hii inareje kwa maafisa waliowashangaza walinzi na walinzi wa nyumba ya mfalme.
|
||
|
|
||
|
# Wakari
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la kundi maalumu la walinzi wa kifalme.
|
||
|
|
||
|
# wakamleta chini mfalme kutoka kwenye nyumba ya Yahwe na wakaenda kwenye nyumba ya mfalme
|
||
|
|
||
|
"kumleta mfalme kutoka kwenye hekalu hadi kwenye nyumba ya mfalme"
|
||
|
|
||
|
# watu wote wa nchi furahini
|
||
|
|
||
|
Hii ni kujumuisha. Inawezekana kwamba wengine hawakufurahi.
|
||
|
|
||
|
# mji ulikuwa kimya
|
||
|
|
||
|
"mji ulikuwa shwari" au "mji ulikuwa na amani"
|