forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
404 B
Markdown
16 lines
404 B
Markdown
|
# mlinzi
|
||
|
|
||
|
"ulinzi"
|
||
|
|
||
|
# lile kundi la Yehu alipokuwa akija kwa mbali kidogo
|
||
|
|
||
|
"Yehu na watu wake walipokuwa bado wako mbali"
|
||
|
|
||
|
# Unataka kufanya nini na amani?
|
||
|
|
||
|
Yehu anatumia swali lisilohitaji jibu kumwambia mjumbe kwamba haimuhusu kama akija katika amani au hapana.
|
||
|
|
||
|
# Mjumbe amekutana nao, lakini harudi
|
||
|
|
||
|
Mlinzi alimwambia Mfalme Yoramu kwamba yule mtu aliyemtuma harudi pamoja majibu ya swali la mfalme.
|