forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
1006 B
Markdown
32 lines
1006 B
Markdown
|
# hadi alipoona aibu
|
||
|
|
||
|
"hadi Hazaeli alijisikia hana raha"
|
||
|
|
||
|
# bwana wangu
|
||
|
|
||
|
Hazaeli anarejea kwa Elisha kwa njia hii kumheshimu yeye.
|
||
|
|
||
|
# Kwa najua
|
||
|
|
||
|
Mungu alimuonyesha Elisha nini kitchukua nafasi mbeleni.
|
||
|
|
||
|
# utafanya
|
||
|
|
||
|
Neno "wewe" linamrejea Hazaeli na kumrejea yeye mwenyewe na maaskari chini ya utawala wake wakti wakiwa mfalme. "utasababisha itokee" au "utawaagiza maaskari wako"
|
||
|
|
||
|
# Utaweka ... utawaua
|
||
|
|
||
|
Neno "wewe" linamuwakilisha Hazaeli hapa kurejea kwa maaskari na sio kwa Hazaeli mwenyewe. "Ninyi maaskari mtawekwa ... maaskari wako watauawa"
|
||
|
|
||
|
# kuwaseta vipande vipande watoto wao
|
||
|
|
||
|
"kuwaponda watoto wao wadogo. "Haya ni maelezo ya ukatili ya maaskari kuwau watoto.
|
||
|
|
||
|
# kuwaua watoto wao wadogo kwa upanga
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha kwamba wanaume watauawa kwa kwenye vita. Upanga ulikuwa silaha kubwa iliyokuwa ikitumika katika vita. "kuwaua watoto wao wa kiume wadogo katika vita"
|
||
|
|
||
|
# kupasua mimba zao wanawake
|
||
|
|
||
|
Hii inarejea hasa kupasua wazi matumbo yao. "pasua wazi matumbo ya mimba za wanawake kwa upanga"
|