forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
374 B
Markdown
12 lines
374 B
Markdown
|
# juu ya kitanda cha mtu wa Mungu
|
||
|
|
||
|
Hiki kilikuwa kitanda katika chumba alichokuwa amekiandaa kwa ajili ya Elisha aliposafiri kupitia Shunemu.
|
||
|
|
||
|
# mtu wa Mungu
|
||
|
|
||
|
"Elisha, mtu wa Mungu"
|
||
|
|
||
|
# ili niweze kuwahi kwa mtu wa Mungu ili niweze kurudi
|
||
|
|
||
|
Yule mwanamke alimwambia mume wake alikuwa anaenda kumuona Elisha lakini hakusema kwamba alienda kwa sababu mtoto wao alikuwa amekufa.
|