forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
1.0 KiB
Markdown
28 lines
1.0 KiB
Markdown
|
# na uchi
|
||
|
|
||
|
Katika sentensi ina maanisha "na kukosa nguo ya kunitia joto"
|
||
|
|
||
|
# nani ni dhaifu, na mimi siyo dhaifu?
|
||
|
|
||
|
Hili ni swali la kujihoji linaloweza kutafiriwa kam ifuatavyo: Wakati mtu yeyote akiwa dhaifu, na mimi najisikia nina udhaifu pia."
|
||
|
|
||
|
# kuna msukumo wa kila siku juu yangu wa wasiwasi wangu
|
||
|
|
||
|
Paulo anafahamu kwamba Mungu atamshikilia kuwajibika kwa jinsi makanisa yanavyomtii Mungu na anazungumza juu ya yale maarifa kama vile yalikuwa mzigo mzito wa kitu kinacho msukuma chini.
|
||
|
|
||
|
# Nani ni dhaifu, na mimi siyo dhaifu?
|
||
|
|
||
|
Neno "dhaifu"huenda ni mfano kelezea hali ya kiroho. Lakini hakuna hata mmoja anajua kwa hakika paulo anazungumzia nini!
|
||
|
|
||
|
# Nani amesababisha mwingine kuanguka
|
||
|
|
||
|
Paulo anatumia swali hili kuonyesha hasira yake wakati mmwamini amesababishwa kutenda dhaambi.
|
||
|
|
||
|
# amesababisha kuanguka
|
||
|
|
||
|
Paulo anazungumzia juu ya dhambi ilikuwa kitu kitu fulani kinatchotembea na hatimaye kuanguka.
|
||
|
|
||
|
# mimi siungui
|
||
|
|
||
|
Paulo anazungumzia kwa hasira juu ya dhambi kama vile alikuwa na moto ndani ya mwili wake.
|