forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
492 B
Markdown
20 lines
492 B
Markdown
|
# Taarifa za jumla:
|
||
|
|
||
|
Neko alikuwa mfalme wa Misri na alichukuwa uamuzi wa kwenda kupigana vita na Yosia , mfalme wa Yuda.
|
||
|
|
||
|
# Kuliweka hekalu katika utaratibu.
|
||
|
|
||
|
"Alirejesha ibada yenye utaratibu mzuri katika hekalu"
|
||
|
|
||
|
# Nikufanye nini, mfaalme wa Yuda?
|
||
|
|
||
|
"Huna sababu ya kunivamia mimi wewe Mfalme wa Yuda".
|
||
|
|
||
|
# Mimi iiji kinyume nawe.
|
||
|
|
||
|
"Mimi ssipigani wala kupingana na ufalme wako".
|
||
|
|
||
|
# Lakini dhidi ya nyumba ambayo nafanya vita nayo.
|
||
|
|
||
|
"Dhidi ya Babeli. dhidi ya ya wale ninaofanya vita nao".
|