forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
377 B
Markdown
12 lines
377 B
Markdown
|
# Taarifa za jumla:
|
||
|
|
||
|
Hilkia alikuwa kuhani na Shefank alikuwa mwandishi, yaani mtu aliyekuwa na kazi ya kuandika mambo mbali mbali yamhusuyo Mungu.
|
||
|
|
||
|
# Walipoileta fedha ambayo ilikuwa imeletwa kwenye nyumba ya Yahwe.
|
||
|
|
||
|
"Wasimamizi walipokuwa wanaipokea fedha kwenye hekalu"
|
||
|
|
||
|
# Watumishi wak wanafanya kila kitu walichokabidhiwa.
|
||
|
|
||
|
"Kila kitu ambacho uliwapa jukumu la kukifanya"
|